Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 7

Zaburi 7:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
13Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
14Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.

Read Zaburi 7Zaburi 7
Compare Zaburi 7:12-14Zaburi 7:12-14