Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 7:12-14 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 7:12-14 in Biblia ya Kiswahili

12 Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.
13 Ana jiandaa kutumia siraha kupambana naye; anatengeneza mishale yake kuwa ya moto.
14 Fikiria kuhusu huyo ambaye ana ujauzito wa maovu, mwenye mimba ya mipango ya uharibifu, anaye zaa sumu ya uharibifu.
Zaburi 7 in Biblia ya Kiswahili