Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:28-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
28Walianguka katikati ya kambi yao, na maeneo yote karibu na hema zao.
29Hivyo walikula na walishiba. Maana aliwapa kile walichokitamani sana.
30Lakini walikuwa bado hawajatosheka; chakula chao kilikuwa bado kinywani mwao.
31Ndipo hasira ya Mungu iliwashambulia na kuwaua wenye nguvu kati yao. Aliwaangusha chini vijana wa Israeli.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:28-31Zaburi 78:28-31