Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 76

Zaburi 76:11-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
12Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.

Read Zaburi 76Zaburi 76
Compare Zaburi 76:11-12Zaburi 76:11-12