Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 74

Zaburi 74:9-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?

Read Zaburi 74Zaburi 74
Compare Zaburi 74:9-10Zaburi 74:9-10