20Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.