Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 73

Zaburi 73:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Kwa hiyo watu wake huwageukia na maji yaliyojaa hukaushwa.
11Nao husema, “Mungu anajuaje? Yako maarifa kwake yeye aliye juu?”
12Fahamu: watu hawa ni waovu; mara zote hawajali, wakifanyika matajiri na matajiri.

Read Zaburi 73Zaburi 73
Compare Zaburi 73:10-12Zaburi 73:10-12