Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 72

Zaburi 72:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Naye apate kuja kama mvua juu ya nyasi zilizokatwa, kama manyuyu yanyunyizayo nchi.
7Mwenye haki na astawi kwa wakati wake, na amani iwepo kwa wingi mpaka mwezi utakapotoweka.
8Na awe na mamlaka toka bahari na bahari, na kutoka Mto hadi miisho ya dunia.

Read Zaburi 72Zaburi 72
Compare Zaburi 72:6-8Zaburi 72:6-8