Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 72

Zaburi 72:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Kuwepo na nafaka nyingi katika ardhi; juu ya milima kuwe na mawimbi ya mimea. Matunda yake yawe kama Lebanoni; watu wasitawi katika miji kama nyansi za kondeni.
17Jina lake lidumu milele; jina lake ilindelee kama vile jua ling'aavyo; watu wabarikiwe katika yeye; mataifa yote wamwite mbarikiwa.
18Yahwe Mungu, Mungu wa Israel, atukuzwe, ambaye pekee hufanya mambo ya ajabu.

Read Zaburi 72Zaburi 72
Compare Zaburi 72:16-18Zaburi 72:16-18