Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 72

Zaburi 72:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Yeye huwahurumia maskini na wahitaji, na huokoa maisha ya wahitaji.
14Huyaokoa maisha yao dhidi ya mateso na vurugu, na damu yao ni ya thamani machoni pake.
15Naye apate kuishi! Na dhahabu za Sheba apewe yeye. Watu wamuombee yeye siku zote; Mungu ambariki daima.

Read Zaburi 72Zaburi 72
Compare Zaburi 72:13-15Zaburi 72:13-15