Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 69

Zaburi 69:31-33

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
32Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
33Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.

Read Zaburi 69Zaburi 69
Compare Zaburi 69:31-33Zaburi 69:31-33