28Uwafute kwenye Kitabu cha Uzima na wasiandikwe pamoja na wenyehaki.
29Lakini mimi ni maskini na mwenye huzuni; uruhusu wokovu wako, Mungu, uniweke juu sana.
30Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
31Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.