Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 68

Zaburi 68:1-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
2Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
3Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
4Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!

Read Zaburi 68Zaburi 68
Compare Zaburi 68:1-4Zaburi 68:1-4