Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 67

Zaburi 67:1-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Mungu atuhurumie sisi na kutubariki na kufanya nuru ya uso wake ituangazie Selah
2ili kwamba njia zako zijulikane nchi yote, wokovu wako kati ya mataifa yote.
3Watu wakusifu wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.
4Oh, mataifa wafurahi na na kuimba kwa furaha, maana utawahukumu watu kwa haki na kuwaongoza mataifa walioko duniani.
5Watu wakushukuru wewe, Mungu; watu wote wakusifu wewe.

Read Zaburi 67Zaburi 67
Compare Zaburi 67:1-5Zaburi 67:1-5