Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 66

Zaburi 66:8-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mtukuzeni Mungu, enyi watu wa mataifa yote, sauti ya sifa zake isikike.
9Yeye atuwekaye hai, naye hairuhusu miguu yetu iteleze.
10Kwa maana wewe, Mungu, umetupima sisi, wewe umetupima kama inavyopimwa fedha.
11Wewe ulituingiza sisi kwenye wavu; uliweka mzigo mzito viunoni mwetu.
12Wewe uliwafanya watu wasafiri juu ya vichwa vyetu; tulipita motoni na majini, lakini ukatuleta mahali pa wazi palipo salama.
13Nitaingia nyumbani mwako nikiwa na sadaka ya kuteketezwa; nitakulipa viapo vyangu

Read Zaburi 66Zaburi 66
Compare Zaburi 66:8-13Zaburi 66:8-13