Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 66

Zaburi 66:1-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Mpigieni Mungu kelele za shangwe, nchi yote;
2Imbeni utukufu wa jina lake; mzitukuze sifa zake.
3Mwambieni Mugu, “Matendo yako yanatisha kama nini! Kwa ukuu wa nguvu zako maadui zako watajisalimisha kwako.
4Nchi yote watakuabudu wewe na watakuimbia wewe; wataliimbia jina lako.” Selah

Read Zaburi 66Zaburi 66
Compare Zaburi 66:1-4Zaburi 66:1-4