Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 64

Zaburi 64:2-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.

Read Zaburi 64Zaburi 64
Compare Zaburi 64:2-7Zaburi 64:2-7