Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 5

Zaburi 5:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
5Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
6Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.

Read Zaburi 5Zaburi 5
Compare Zaburi 5:4-6Zaburi 5:4-6