Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 59

Zaburi 59:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Lakini wewe, Yahwe, utawacheka; wewe huwadhihaki mataifa yote.
9Mungu, nguvu yangu, nitakuwa msikivu kwako; wewe ni mnara wangu mrefu.
10Mungu atakutana nami akiwa na uaminifu wa agano lake; Mungu atanifanya nione shauku yangu juu ya adui zangu.

Read Zaburi 59Zaburi 59
Compare Zaburi 59:8-10Zaburi 59:8-10