Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 59

Zaburi 59:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. Selah
6Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
7Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”

Read Zaburi 59Zaburi 59
Compare Zaburi 59:5-7Zaburi 59:5-7