Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 59:5-7 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 59:5-7 in Biblia ya Kiswahili

5 Ewe, Yahwe Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, inika uwaadhibu mataifa yote; usiwe na huruma kwa mhalifu mwovu yeyote. Selah
6 Wao wanarudi jioni, wanabweka kama mbwa na kuuzungukia mji.
7 Tazama, wanapiga kelele mbaya kwa midomo yao; panga ziko kwenye midomo yao, maana wanasema, “Ni nani anaye tusikia?”
Zaburi 59 in Biblia ya Kiswahili