12Kwa ajili ya dhambi za midomo yao na maneno ya midomo yao, wakamatwe katika majivuno yao, na kwa laana na uongo ambao wao huelezea.
13Uwamalize katika gadhabu yako, uwamalize ili kwamba wasiwepo tena; wajue kuwa Mungu anatawala katika Yakobo na mwisho wa nchi. Selah
14Wakati wa jioni wao hurudi, wakibweka kama mbwa wakiuzungukia mji.
15Wanatangatanga wakitafuta chakula na wanabweka kama mbwa kama hawajatosheka.