Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 58

Zaburi 58:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Hapana, mnafanya uovu mioyoni mwenu; munaeneza vurugu nchi yote kwa mikono yenu.
3Waovu huenenda katika upotovu hata walipokuwa tumboni; wao wanaenenda katika upotovu tangu kuzaliwa, wakiongea uongo.

Read Zaburi 58Zaburi 58
Compare Zaburi 58:2-3Zaburi 58:2-3