Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 55

Zaburi 55:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Uwoga na kutetemeka kumenijia, nayo hofu imenielemea.
6Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
7Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. Selah

Read Zaburi 55Zaburi 55
Compare Zaburi 55:5-7Zaburi 55:5-7