Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 55

Zaburi 55:10-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Mchana na usiku wao huenda kwenye kuta zake; uchafu na ufisadi uko katikati yake.
11Uovu uko katikati yake; ukandamizaji na uongo hauiachi mitaa yake.
12Kwa maana hakuwa adui aliye nikemea, hivyo ningevumilia; wala ingekuwa ni yule aliye nichukia aliyejiinua mwenyewe dhidi yagu, hivyo ningejificha asinione.
13Lakini ulikuwa wewe, mtu sawa na mimi, mwenzangu na rafiki yangu.

Read Zaburi 55Zaburi 55
Compare Zaburi 55:10-13Zaburi 55:10-13