Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 52

Zaburi 52:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. Selah
6Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
7“Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”

Read Zaburi 52Zaburi 52
Compare Zaburi 52:5-7Zaburi 52:5-7