2Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
3Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. Selah
4Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
5Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. Selah
6Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,