Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 4

Zaburi 4:7-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
8Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.

Read Zaburi 4Zaburi 4
Compare Zaburi 4:7-8Zaburi 4:7-8