Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 49

Zaburi 49:6-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.

Read Zaburi 49Zaburi 49
Compare Zaburi 49:6-9Zaburi 49:6-9