Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 49

Zaburi 49:3-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.

Read Zaburi 49Zaburi 49
Compare Zaburi 49:3-8Zaburi 49:3-8