Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 46

Zaburi 46:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Selah

Read Zaburi 46Zaburi 46
Compare Zaburi 46:6-7Zaburi 46:6-7