Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 46

Zaburi 46:3-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. Selah
4Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.

Read Zaburi 46Zaburi 46
Compare Zaburi 46:3-6Zaburi 46:3-6