Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 46:3-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 46:3-6 in Biblia ya Kiswahili

3 hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. Selah
4 Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
Zaburi 46 in Biblia ya Kiswahili