Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 44

Zaburi 44:14-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Umetufaya kituko kati ya mataifa,...
15Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.

Read Zaburi 44Zaburi 44
Compare Zaburi 44:14-18Zaburi 44:14-18