14Umetufaya kituko kati ya mataifa,...
15Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.