Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 42

Zaburi 42:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Kama upanga mifupani pangu, maadui zangu wananikemea, siku zote wakiniambia, “Yuko wapi Mungu wako?”
11Roho yangu, kwa nini umeinama chini? Kwa nini unahuzuni ndani yangu? Mtumaini Mungu kwa kuwa nitamsifu tena yeye aliye wokovu wangu na Mungu wangu.

Read Zaburi 42Zaburi 42
Compare Zaburi 42:10-11Zaburi 42:10-11