Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 40

Zaburi 40:11-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Usiache kunitendea kwa rehema, Yahwe; Uaminifu wa agano lako na uaminifu wako unihifadhi siku zote.
12Mabaya yasiyo hesabika yamenizunguka; Maovu yangu yamenipata nami siwezi kuona chochote; nayo ni mengi kuliko nywele za kichwa changu, na moyo wangu umeniangusha.
13Yahwe, tafadhari uniokoe; njoo haraka unisaidie Yahwe.

Read Zaburi 40Zaburi 40
Compare Zaburi 40:11-13Zaburi 40:11-13