7Sasa, Bwana, ninasubiri kwa ajili ya nini? Wewe ni tumaini langu pekee.
8Uniokoe na dhambi zangu; usinifanye laumu ya wabumbavu.
9Niko kimya na siwezi kufungua mdomo wangu, kwa sababu ni wewe ndiwe umefanya hivyo.
10Acha kunijeruhi; nimezidiwa na pigo la mkono wako.