15Hakika ninakungoja wewe, Yahwe; wewe utanijibu, Bwana Mungu wangu.
16Ninasema hivi ili kwamba maadui zangu wasije wakafurahia juu yangu. Ikiwa mguu wangu utateleza, watanifanyia mambo mabaya.
17Kwa kuwa niko karibu mashakani, na niko katika maumivu ya mara kwa mara.