Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 36

Zaburi 36:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.

Read Zaburi 36Zaburi 36
Compare Zaburi 36:2-5Zaburi 36:2-5