Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 33

Zaburi 33:9-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Kwa maana yeye alisema, na ikafanyika; aliamuru, na ikasimama mahali pake.
10Yahwe huvunja muungano wa mataifa; naye huishinda mipango ya wanadamu.
11Mipango ya Yahwe husimama milele, mipango ya moyo wake ni kwa ajili ya vizazi vyote.
12Limebarikiwa taifa ambalo Mungu wao ni Yahwe, watu ambao yeye amewachagua kama warithi wake.

Read Zaburi 33Zaburi 33
Compare Zaburi 33:9-12Zaburi 33:9-12