9Kwa maana yeye alisema, na ikafanyika; aliamuru, na ikasimama mahali pake.
10Yahwe huvunja muungano wa mataifa; naye huishinda mipango ya wanadamu.
11Mipango ya Yahwe husimama milele, mipango ya moyo wake ni kwa ajili ya vizazi vyote.
12Limebarikiwa taifa ambalo Mungu wao ni Yahwe, watu ambao yeye amewachagua kama warithi wake.