Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 33

Zaburi 33:8-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Basi ulimwengu wote umwogope Yahwe; wenyeji wote wa ulimwengu wamuhofu yeye.
9Kwa maana yeye alisema, na ikafanyika; aliamuru, na ikasimama mahali pake.
10Yahwe huvunja muungano wa mataifa; naye huishinda mipango ya wanadamu.
11Mipango ya Yahwe husimama milele, mipango ya moyo wake ni kwa ajili ya vizazi vyote.
12Limebarikiwa taifa ambalo Mungu wao ni Yahwe, watu ambao yeye amewachagua kama warithi wake.
13Yahwe anatazama kutoka mbinguni; yeye huona watu wote.
14Kutokea mahali ambapo yeye anaishi, huwatazama wote waishio juu ya nchi.
15Yeye anaye iumba mioyo yao na kuyaona matendo yao yote.

Read Zaburi 33Zaburi 33
Compare Zaburi 33:8-15Zaburi 33:8-15