Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 33

Zaburi 33:4-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kwa kuwa maneno ya Mungu ni ya hakika, na kila afanyacho ni haki.
5Yeye hupenda haki na kutenda kwa haki. Dunia imejaa uaminifu wa agano la Yahwe.
6Kwa neno la Yahwe mbingu ziliumbwa, na nyota zote ziliumbwa kwa pumzi ya mdomo wake.
7Yeye huyakusanya maji ya baharini kama rundo; naye huiweka bahari katika ghala.
8Basi ulimwengu wote umwogope Yahwe; wenyeji wote wa ulimwengu wamuhofu yeye.
9Kwa maana yeye alisema, na ikafanyika; aliamuru, na ikasimama mahali pake.

Read Zaburi 33Zaburi 33
Compare Zaburi 33:4-9Zaburi 33:4-9