Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 32

Zaburi 32:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Mchana na usiku mkono wako ulinielemea. nguvu zangu zilikauka wakati wa kiangazi. Selah
5Ndipo nilipotambua makosa yangu kwako, nami sifichi tena uovu wangu. Nilisema, “Nitakiri makosa yangu kwa Yahwe,” nawe ulinisamehe hatia ya dhambi zangu. Selah
6Kwa sababu ya haya, wale wote ambao ni wa kimungu wanapaswa kukuomba wakati wa shida kubwa. Nayo mafuriko yajapo, hayatawapata watu hao.

Read Zaburi 32Zaburi 32
Compare Zaburi 32:4-6Zaburi 32:4-6