Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 31

Zaburi 31:23-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
23Enyi wafuasi waaminifu, mpendeni Yahwe, Yahwe huwalinda waaminifu, lakini huwalipa wakaidi ipasavyo.
24Iweni imara na jasiri, ninyi nyote mnao mwamini Mungu kuwasaidia.

Read Zaburi 31Zaburi 31
Compare Zaburi 31:23-24Zaburi 31:23-24