Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 31

Zaburi 31:16-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Nuru ya uso wako imuangazie mtumishi wako; uniokoe katika uaminifu wa agano lako.
17Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni.
18Na inyamazishwe midomo midanganyifu ambayo husema maneno mabaya kuhusu watu wenye haki huku wakiwa na kiburi na dharau.
19Uzuri wako ni wa namna gani nao umeuhifadhii kwa ajili ya wale wanao kuheshimu sana, ambao wewe huufanya kwa ajili ya wale ambao hukimbilia kwako kwa ajili ya usalama mbele ya watoto wote wa wanadamu!

Read Zaburi 31Zaburi 31
Compare Zaburi 31:16-19Zaburi 31:16-19