Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 30

Zaburi 30:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Kwa kuwa hasira yake ni ya muda tu; bali neema yake yadumu milele. Kilio huja usiku, bali furaha huja asubuhi.
6Kwa ujasiri nilisema, “Sitatikiswa kamwe.”
7Yahwe, kwa neema yako uliniweka mimi kama mlima imara; lakini ulipouficha uso wako, nilisumbuka.

Read Zaburi 30Zaburi 30
Compare Zaburi 30:5-7Zaburi 30:5-7