Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 30

Zaburi 30:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Mwimbieni sifa Yahwe, ninyi waaminifu wake! Mshukuruni Bwana mkumbukapo utakatifu wake.
5Kwa kuwa hasira yake ni ya muda tu; bali neema yake yadumu milele. Kilio huja usiku, bali furaha huja asubuhi.
6Kwa ujasiri nilisema, “Sitatikiswa kamwe.”

Read Zaburi 30Zaburi 30
Compare Zaburi 30:4-6Zaburi 30:4-6