Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 28

Zaburi 28:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
2Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!

Read Zaburi 28Zaburi 28
Compare Zaburi 28:1-2Zaburi 28:1-2