Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 27

Zaburi 27:9-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Usiufiche uso wako mbali na mimi; usinikasirikie mimi mtumishi wako! Wewe umekuwa msaada wangu; usiniache wala kunitelekeza, Mungu wa wokovu wangu!
10Hata kama baba yangu na mama yangu wakiniacha, Yahwe utanitunza kwako.

Read Zaburi 27Zaburi 27
Compare Zaburi 27:9-10Zaburi 27:9-10