Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 27

Zaburi 27:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Wakati waovu waliponijia kunila mwili wangu, wapinzani wangu na adui zangu walijikwaa na wakaanguka.
3Ingawa jeshi hujipanga kupigana na mimi, moyo wangu hautaogopa; japo vita vijapo inuka kupigana nami hata hapo nitabaki kuwa jasiri.

Read Zaburi 27Zaburi 27
Compare Zaburi 27:2-3Zaburi 27:2-3